MAANA YA FASIHI KWA MUJIBU WA K.W WAMITILA
Wataalamu
wengi wa fasihi wametoa maana ya neon fasihi kulingana na mitazamo yao,ubunifu
wao, falsafa zao na hata uzoefu wao katika uwanja wa fasihi. Makala hii,
imeangazia zaidi katika kuichambua maana ya fasihi iliyotolewa na mwana fasihi Kyallo
Wadi Wamitila katika kitabu chake cha Kamusi
Ya Fasihi; Istilahi na Nadharia, kilichochapishwa mwaka 2003.
Maana ya Fasihi kwa mujibu wa Wamitila (2003)
“Fasihi
ni kazi za kisanaa au zilizotumia lugha kwa usanii na zinazowasilisha suala
fulani pamoja kwa njia inayoathiri, kugusa na huacha athari fulani na uonyesha
ubunilizi na ubunifu fulani na zinazomhusu binadamu”
Fasihi ni kazi ya Kisanaa na yenye kutumia
lugha
Hii
ina maana kuwa, fasihi ni sanaa kama zilivyo sanaa zingine kama vile muziki,
uchoraji, ususi, ufinyanzi n.k, isipokuwa fasihi inatumia lugha ili kufikisha
ujumbe wake, tofauti na matawi mengine ya sanaa.
Fasihi ni kazi inayowasilisha suala fulani pamoja
Fasihi
ni lazima iwe na mada, jambo au tukio mahususi ambalo inawasilisha, na jambo
hilo ni lazima liwasilishwe kwa pamoja. Hii ina maana kuwa, kama jambo au kisa
ni lazima kiwasilishwe chote kwa mtiririko unaofaa na uwe ndani ya kazi moja.
Iwasilishwe kwa njia inayoathiri na kugusa
Lengo
la msanii ni kuufikisha ujumbe katika jamii kama jinsi yeye anavyohitaji ufike
au zaidi yahata ambavyo yeye anahitaji ufike. Ili lengo hilo lifanikiwe, ni
lazima kutumia njia zenye kuweza kumgusa msomaji na kuikonga vyema nafsi na
moyo wake kwa kile msanii alichokiwasilisha. Kwa mfano, msanii anahitaji
kuwasilisha ujumbe juu ya unyanyasaji unaofanywa na baadhi ya viongozi katika nchi,
itambidi msanii atumie sauti za hudhuni zilizojaa manyanyaso na uteswaji
uliokithiri
Fasihi huacha athari
Kutokana
na uhalisia wa fasihi katika jamii nyingi, basi kazi ya fasihi huweza
kusababisha matokeo yoyote kutokea katika jamii. Hii ina maanisha kuwa ujumbe
umefika mahali ulipotakiwa kufika na ndiyo maana ukasababisha matokeo kutokea.
Ubunilizi na ubunifu
Ubunilizi
na ubunifu ni vipengele muhimu sana katika kazi yoyote ile ya fasihi. Fasihi bila
ubunifu ni sawa na makala, kama zilivyo makala zingine. Ni vigumu
kujihakikishia usalama kwa msanii wa fasihi pasipo kutumia ubunifu. Tukumbuke kuwa,
katika jamii kuna makundi ya aina nyingi, hivyo lazima kazi ya fasihi iibue
ukinzani endapo kama unakosoa matabaka yenye nguvu.
Zinazomhusu binadamu
Fasihi
ni zao la jamii, hivyo ni vyema kazi za fasihi zimhusu zaidi binadamu kwani
ndiye mwenye utashi na akiri yenye uwezo wa kufikiri. Hii haina maana kuwa
wahusika wanyama hawahitajiki, lahasha! Kinachozungumziwa hapa ni ujumbe
umuhusu binadamu.
Marejeo
Wamitila K.W (2003) Kamusi
ya Kiswahili; Istilahi naNadharia.Focus
Publication.Nairobi.
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
JibuFutaMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com